Bodi ya Kimataifa Ya Miujiza Ya Kisayansi Ya Qurani Na sunna    
Risala yetu: Kudhihirisha miujiza ya kisayansi Na kuihakiki na kuichapisha.

Lugha

Ukurasa Uliotangulia

Ukurasa Kuu Udaktari Ardhi Na Bahari Sheria Za Kiislamu Maneno Mengine  

 

Muhtasari Wa Utafiti Za Falaki Na Anga
Maudhui

Aya Na Hadithi

Kuangalia

JUA  KAMA NI TAA NA  MWEZI WENYE NURU

Mwenyezi Mungu Amesema, “ Ni mwenye kuleta baraka (kweli kweli) yule Aliyezijaalia nyota mbinguni, na Akajaalia humo jua na mwezi unaong’ara.” Aya ya 61 ya Suratul Furqan.  

KUPANDA MBINGUNI

      Mwenyezi Mungu Mtukufu Amesema, “ Basi yule ambaye Mwenyezi Mungu Anataka kumuongoza, Hufungulia kifua chake Uislamu; na yule ambaye Mwenyezi Mungu Anataka kumhukumu kupotea, Hufanya kifua chake kizito kinaona tabu kubwa (kufuata huo Uislamu); kama kwamba anapanda mbinguni (kusikokuwa na pumzi). Namna hivi Mwenyezi Mungu Anajaalia uchafu juu ya wale wasioamini. Aya ya 125 Suratul An-am.

MAWINGU YANAYOLETA MVUA

Mwenyezi Mungu Mtukufu Amesema: “ Naapa kwa mawingu yanayoleta mvua.” Aya ya 11 ya Suratul Tariq.

NYOTA ZINAZOREJEA NYUMA  ZINAZOKWENDA NA KUJIFICHA

Mwenyezi Mungu Anasema, “ Basi Naapa kwa nyota zinazorejea nyuma. Zinazokwenda, kisha zikajificha.” Aya za 15 na 16 za Suratul At Takwyr. 

     
     
     
     
     
     
     

 

 

 

 

 
 

Kungiyar mu’ujizar ilimi na Alqur’ani da Sunna da duniya  (1428-2007)